Psalms 24:3-4


3 aNani awezaye kuupanda mlima wa Bwana?
Ni nani awezaye kusimama patakatifu pake?

4 bNi yule mwenye mikono safi na moyo mweupe,
yule ambaye hakuinulia sanamu nafsi yake
au kuapa kwa kitu cha uongo.
Copyright information for SwhKC